Idara ya Ufamasia (Pharmaceutical Sciences)
Karibu katika Idara ya Ufamasia. Tunatoa elimu bora ya sayansi ya dawa, utayarishaji, na usimamizi wa dawa kwa viwango vya kimataifa.
Tarehe ya Kuripoti: September 2026
Kozi ya Ufamasia (Pharmaceutical Sciences)
Ufamasia (Pharmacy) ni fani inayohusika na sayansi ya dawa, kuanzia ugunduzi, uzalishaji, udhibiti wa ubora, hadi matumizi salama ya dawa kwa wagonjwa. Katika Kolandoto College, tunatoa mafunzo yanayomjengea mwanafunzi ujuzi wa kitaalamu katika kusimamia dawa na kutoa huduma bora za afya.
Majukumu ya Mfamasia
- Kutoa Dawa (Dispensing): Kutoa dawa kwa usahihi kulingana na maelekezo ya daktari.
- Ushauri wa Dawa: Kuelimisha wagonjwa kuhusu matumizi sahihi na athari za dawa.
- Usimamizi wa Dawa: Kuhakikisha dawa zinahifadhiwa vizuri na hazijaisha muda wake.
Fursa za Ajira
- Maduka ya Dawa (Community Pharmacies) na Hospitali.
- Viwanda vya Dawa na Uzalishaji.
- Taasisi za Udhibiti (kama TMDA) na Utafiti.
Fursa za Kujiendeleza (Career Advancement)
Baada ya kuhitimu Diploma in Pharmaceutical Sciences, unaweza kujiendeleza:
- Bachelor of Pharmacy (BPharm): Shahada ya Ufamasia ili kuwa Mfamasia Kamili (Pharmacist).
- Industrial Pharmacy: Kubobea katika uzalishaji wa dawa viwandani.
- Clinical Pharmacy: Kubobea katika matumizi ya dawa wodini kwa wagonjwa.
Sifa na Mahitaji Maalum
Sifa za Kitaaluma
Kidato cha Nne (CSEE) chenye ufaulu wa "D" nne (4). Lazima zihusishe masomo yasiyo ya dini:
Chemistry na Biology (Ni Muhimu), pamoja na Physics/Engineering Sciences.
*Ufaulu katika English na Mathematics ni nyongeza nzuri.
Mahitaji ya Mwanafunzi (Equipment)
Vifaa hivi lazima uje navyo:
- Laptop au Smartphone (Kwa ajili ya kujifunzia)
- Scientific Calculator
- Koti la Maabara (White Lab Coat)
- Ream Paper 2 (Double A) & 1 Box of Surgical Gloves
- Daftari na Vifaa vya Kuandikia
Malazi (Accommodation)
Ada ya Hostel ni TZS 300,000 kwa mwaka. Mwanafunzi aje na:
- Godoro (Size 2.5" x 6")
- Ndoo (Bucket)
- Chandarua (Mosquito Net)
- Vyombo vya chakula (Hotpot)
Ada na Michango (Mwaka 2026)
Confirmed: 2026 IntakeAda ya Mafunzo (Tuition Fee)
Jumla kwa mwaka mmoja
Michango Mingine (Other Contributions)
- Mitihani ya Ndani (Internal Exams) 550,000
- Maendeleo ya Chuo 100,000
- Library & ICT Services 100,000
- Hostel/Accommodation (Optional) 300,000
- Jumla (Bila Hostel) 750,000
Gharama za Moja kwa Moja (Direct Costs)
Zinalipwa kwenye akaunti ya Development
- Sare za Chuo (Uniforms) 120,000
- MoH Examination Fee 150,000
- Bima ya Afya (NHIF) * 60,000
- Quality Assurance (NACTVET) 20,000
- Serikali ya Wanafunzi 15,000
- Kitambulisho & Usajili 20,000
- Procedure/Log Books 10,000
- Jumla Kuu 395,000
* NHIF ni lazima kama huna kadi.
Jinsi ya Kulipa (Payment Instructions)
1. Kwa Tuition Fee & Michango (Accommodation/Exams):
0150605342100
CRDB - Kolandoto College of Health Sciences
2. Kwa Direct Costs (Uniform, NHIF, etc.):
0150552167400
CRDB - AICT KCHS DEVELOPMENT
Lazima upate Control Number kabla ya kulipa. Piga simu Ofisi ya Uhasibu:
06215212784 au 0615801748
Fomu ya Kujiunga (Joining Instruction)
Pakua Fomu ya Kujiunga
Fomu hii ina maelekezo yote ya kujiunga (Joining Instructions), fomu ya matibabu (Medical Form), na utaratibu wa malipo.
Pakua PDF (Joining Instruction)Ukubwa wa Faili: 2MB | Format: PDF
Mawasiliano ya Idara
Mawasiliano Muhimu
Idara ya Uhasibu
Udahili na Usajili
Mkuu wa Idara
Mahali Tulipo
Kolandoto College ipo kilomita 18 kutoka Mwanza Jiji, karibu na Mahakama ya Mwanzo Kisesa.
info@kchsm.ac.tzContact Information
- Kolandoto College of Health and Allied Sciences, Mwanza Campus
- P.O. BOX 2148,Kisesa, Mwanza, Tanzania
- +255620339260
- +255752197579
- info@kchsm.ac.tz
- www.kchsm.ac.tz
Registration Details
- Registration No: REG/HAS/235
- Establishment Date: 14 January 2021
- Registration Date: 9 February 2024
- Ownership: FBO
© 2025 Kolandoto College of Health and Allied Sciences, Mwanza Campus. All rights reserved.